BROSHUA KUHUSU HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE
Mashahidi wa Yehova na Maisha ya Familia
Mashahidi wa Yehova hujitahidi kutumia kanuni za Biblia katika familia zao na kufanya hivyo kunaleta manufaa kwa mume, mke, na watoto. Matokeo ni kwamba kunakuwa na usalama na upendo katika familia. Wazazi wanachukua kwa uzito wajibu wa kuwafundisha watoto wao viwango vya Biblia.