Hamia kwenye habari

BROSHUA KUHUSU HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Mashahidi wa Yehova na Maisha ya Familia

Mashahidi wa Yehova na Maisha ya Familia

Mashahidi wa Yehova hujitahidi kutumia kanuni za Biblia katika familia zao na kufanya hivyo kunaleta manufaa kwa mume, mke, na watoto. Matokeo ni kwamba kunakuwa na usalama na upendo katika familia. Wazazi wanachukua kwa uzito wajibu wa kuwafundisha watoto wao viwango vya Biblia.