Hamia kwenye habari

BIBLIA INABADILI MAISHA

Juan Pablo Zermeño: Yehova Alinipa Maisha Yenye Kusudi

Juan Pablo Zermeño: Yehova Alinipa Maisha Yenye Kusudi

Licha ya kulelewa chini ya hali ngumu, watu wengi wamepata amani na kusudi baada ya kuweka maisha yao wakfu kwa Yehova. Juan Pablo aliamua kuacha kupigana ndondi na akapata maisha yenye kusudi halisi.