Ninajifunza Biblia
Ninajifunza Biblia
KWA WATOTO WASIOZIDI MIAKA 3
Mvua inanyesha.
“Kwa hiyo ninabaki nyumbani.
Sababu gani mvua haiishe?”
Safi analia.
Kisha anashangaa!
Jua linatoka.
Mvua imekwisha.
Safi anafurahi sana!
Anakimbilia inje, akiruka-ruka. Safi anafurahi kuona maua mazuri.
Safi anasema hivi: “Sikuwa najua kama mvua inayotoka kwa Mungu inakomalisha maua!”
MAZOEZI
Umuombe mutoto wako aonyeshe:
Dirisha Safi Maua
Ndege Muti
Onyesha vitu visivyoonekana vizuri.
Kidudu Avion
Soma Matendo 14:17. Sababu gani Yehova aliumba mvua?