MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 7, 2013 | Je, Kuna Dini Yoyote Ambayo Unaweza Kutumainia?

Watu wengi wanaona ni vigumu kutumainia dini kwa sababu walivunjwa moyo na mambo mbalimbali ya dini. Jifunze mambo mengi zaidi juu ya dini ambayo unaweza kutumainia.

HABARI KUBWA

Sababu Gani Unapaswa Kuichunguza Dini Yako?

Ikiwa wewe ni muamini wa dini fulani, kwa kweli unatia uzima wako wa kiroho katika mikono ya dini hiyo.

HABARI KUBWA

Je, Kuna Dini Yoyote Ambayo Unaweza Kutumainia Kuhusiana na Feza?

Je, katika eneo lenu dini zinatumia njia zilizo wazi ao za ujanja ili kukaza watu watoe feza? Je, kufanya hivyo kunapatana na mafundisho ya Biblia?

HABARI KUBWA

Je, Kuna Dini Yoyote Ambayo Unaweza Kutumainia Kuhusiana na Vita?

Yesu aliwafundisha wafuasi wake kupenda jirani yao. Leo, je, dini zinafuata amri hiyo?

HABARI KUBWA

Je, Kuna Dini Yoyote Ambayo Unaweza Kutumainia Kuhusiana na Mwenendo?

Viongozi wengi wa dini hawaonyeshe mufano muzuri wa kuigwa kuhusiana na mwenendo. Je, Mungu anahangaika juu ya mwenendo wetu?

HABARI KUBWA

Je, Kuna Dini Yoyote Ambayo Unaweza Kutumainia?

Kuna dini fulani ambayo imekuvunja moyo? Ikiwa jibu ni ndiyo, inaweza kuwa vigumu kwako kutumainia dini yoyote. Namna gani kujifunza Biblia kunaweza kukusaidia?

SIRI YA FURAHA YA FAMILIA

Kufanya Ndoa ya Pili Iwe na Matokeo Mazuri

Ndoa ya pili inaweza kuleta matatizo ambayo hayakuwa hata kidogo katika ndoa ya kwanza. Bwana na bibi wanaweza kufanya namna gani ili kupata matokeo mazuri?

MUKARIBIE MUNGU

Mungu Anajaza ‘Mioyo Yetu kwa Ukamili’

Kila siku Mungu anawaruhusu wanadamu wafaidike na wema wake mwingi, hata wale wasiokuwa na shukrani kwake.

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

“Sijisikie Tena Kuwa Ninapaswa Kubadilisha Dunia”

Namna gani kujifunza Biblia kulisaidia mutu aliyechochea watu kwa ajili ya mabadiliko ajue jambo ambalo linaweza kweli kubadilisha wanadamu?

MAZUNGUMUZO YA BIBLIA PAMOJA NA JIRANI

Je, Mungu Anahangaika juu ya Mateso Yetu?

Watu fulani wana mashaka ikiwa kuna Mungu kwa sababu ya mateso wanayoona. Ujifunze katika Neno la Mungu namna mateso yetu yanavyomuhuzunisha.

Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Watu wamejaribu njia nyingi ili waepuke kuzeeka, hata hivyo, hakuna mutu ambaye ameweza kuishi milele. Sababu gani?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanatembelea Watu Walio na Dini Zao?

Ni sababu gani zinazotuchochea kutembelea watu walio na dini zao?