MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 9, 2013 | Sababu Gani Kuna Mateso Mengi? Mateso Yataisha Wakati Gani?

Biblia inasema nini juu ya mateso, na yataendelea kuhangaisha wanadamu mupaka wakati gani?

HABARI KUBWA

Watu Wengi Sana Wasiokuwa na Kosa Wanauawa!

Tunaona watu wengi sana wanateseka duniani, mara nyingi bila sababu. Je, tunapaswa kumulaumu Mungu?

HABARI KUBWA

Sababu Gani Kuna Mateso Mengi Sana?

Tambua sababu 5 kubwa zinazofanya kuwe na mateso leo, na ujue yule ambaye tunapaswa kutumainia.

HABARI KUBWA

Mwisho wa Mateso Unakaribia!

Mungu ameahidi kumaliza sababu zote zinazofanya kuwe na mateso. Atafanya hivyo namna gani na wakati gani?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Maskini Kimwili Lakini Tajiri Kiroho

Alexander Ursu alijonea mwenyewe kwamba maendeleo ya kiroho hayangeweza kusimamishwa, hata katika Muungano wa Kisovieti wa zamani. Soma habari yake yenye kusisimua.

Luga Zetu za Leo Zilianzia Kwenye “Munara wa Babeli”?

Munara wa Babeli ni nini? Luga za wanadamu zilianzia wapi kabisa?

MUKARIBIE MUNGU

‘Mungu Anamupenda Mutoaji Muchangamufu’

Tafuta kujua sababu gani nia ya mutu mwenye kutoa ni jambo la maana.

TEACH YOUR CHILDREN

Mungu Anaweza Kuhuzunika—Namna Tunavyoweza Kumufurahisha

Je, unajua kwamba unaweza kumuhuzunisha Yehova ao kumufurahisha? Jifunze namna matendo ya Adamu na Eva yalivyomuhuzunisha Yehova.

Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Shauri la Biblia juu ya kufanya ndoa iwe yenye furaha lina matokeo mazuri kwa sababu linatoka kwa Yule aliyeanzisha ndoa, Yehova Mungu.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Mashahidi wa Yehova Wanatosha Feza Wapi?

Hatutumiake njia zenye kutumiwa na dini nyingi.